Followers

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » KENYA KUNUNUA NDEGE 14 ZA KIJESHI KUTOKA MAREKANI



Serikali ya Marekani imeidhinisha mpango wa kuliuzia jeshi la Kenya ndege 14 za kijeshi zenye thamani ya dola milioni 418, Idara ya ulinzi nchini humo imetangaza.
Ndege hizo zitatumika katika vita dhidi ya wapiganaji wa al-Shabab wenye makao yao huko nchini Somalia ambao wamefanya mashambulizi mbaya zaidi nchini Kenya, idara hiyo imeongezea.
Imesema kuwa ndege hizo kwa jina Air Tractor zitaweza kukabiliana na wapiganaji hao kwa karibu ikilinganishwa na ndege za sasa za f-5 fleet.
Mauzo hayo yanachangia sera ya kigeni ya usalama ya taifa la Marekani kwa kuwa Kenya inaongoza katika eneo hilo katika vita dhidi ya wapiganaji hao.

SOURCE BBC 
«
Next
HOT BONGO: KENYA KUNUNU NDEGE 14 ZA KIJESHI KUTOKA MAREKANI
»
Previous
Brand New Music Video : AWILO LONGOMBA ft. YEMI ALADE - RIHANNA

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

Cat-5

MUSIC