Followers

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » MAELFU YA WAMAREKANI WAANDAMANA KUPINGA AMRI YA RAIS TRUMP YA KUZUIA WAKIMBIZI.





Maelfu ya wa Marekani wameendelea kuandamana mjini New York kupinga amri ya Rais Donald Trump kuzuia mataifa ya Kiislam na Wakimbizi kuingia nchini humo kwa lengo la kuzuia ugaidi. Mataifa yaliyo zuiliwa ni nchi za Iran, Iraq, Somalia, Sudan, Libya na Yemen.

waandamanaji wameandamana katka miji tofauti tofauti huku wengine wakielekea ikulu wakiwa na baadhi ya mabango yakisoma kuwa   “No wall, no ban”, “No hate, no fear. Refugees are welcome here”, 

battery-protest2.jpg

KATIKA HATUA NYINGINE TAKRIBANI WATU MILIONI MOJA WAMETIA SAHIHI YA KUMZUIA TRUMP KUZURU UINGEREZA.
Zaidi ya watu milioni moja wa Uingereza wamesaini barua ya kutoa shinikizo kwa serikali ya Uingereza kusitisha ziara rasmi iliopangwa baadaye mwaka huu ya rais Donald Trump.
Barua hiyo iliyoandikwa kufuatia agizo la rais Trump dhidi ya wahamiaji, inaeleza kuwa kuja kwake kutamuaibisha Malkia Elizabeth.
Idadi ya watu wanaoendelea kusaini kupinga Mwaliko wa Trump nchini Uingereza inaendelea kuongezeka, tangu Marekani kuweka vikwazo dhidi ya wageni hatua iliyozua ghadhabu kote duniani. Amri ya Trump: Ni nani anaathirika?











«
Next
ALICHOSEMA MOSES IYOBO JUU YA KUMWITA HARMORAPA NYANI...
»
Previous
HII NDIO VIDEO MPYA YA BAGHDAD "NIPE NAMBA" BAADA YA KUSUMBUA NA NGOMA YA "K"

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

Cat-5

MUSIC