Followers

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

21 Mar 2017

BRAND NEW MUSIC VIDEO KUTOKA KWA NILLAN - NJENJE.

Msanii mpya wa Bongo fleva NILLAN ameachia ng...

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS


Rais wa Marekani na Urusi wameongea kwa njia ya simu kujadili namna ya kushughulikia migogoro mbalimbali inayoikabili dunia kwa sasa.
Taarifa kutoka ikulu ya marekani zinasema kuwa Donald Trump na Vladimir Putin wamekubaliana kuwa vita vinavyoendelea Syria vimefikia katika hatua mbaya na pande zinazohasimiana hazina budi kukaa pamoja na kumaliza mapigano hayo.
Viongozi hao wawili pia wamejadili namna ya kufanya kazi kwa pamoja kuliangamiza kundi la IS pamoja na suala la nyuklia la Korea ya Kaskazini.
Haya ni maongezi ya kwanza kwa viongozi hao wawili, tokea Trump alipoishambulia Syria inayoungwa mkono na Urusi.
BBC SWAHILI
«
Next
MAALIM SEIF AONGOZA MAMIA YA WANACHAMA WA CUF KUTEMBELEA WAGONJWA.
»
Previous
HII HAPA BRAND NEW VIDEO YA ASLAY NA KHADIJA KOPA - USIITIE DOA

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

Cat-5

MUSIC