Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

Latest Posts




VACANCIES
AGAPE ASSOCIATES LIMITED
Agape Associates Limited immediately invites Applicants with suitable qualifications to fill the following vacant posts.

Position: PRODUCTION MANAGER
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
QUALIFICATIONS   
1.      Degree in Journalism or equivalent qualification
2.      Age between 30 - 45
3.      With experience of 1-3years
4.      Certificate of leadership
5.      Must be competent in English and Kiswahili
Come with your updated Cv Application letter and relevant Certificates.
Location ;Mbezi Jogoo, Dar es salaam, Tanzania, Bagamoyo Road,
Contact us through; 0658387041
                                  0658387040
                                              
Application letter with attached Cv. should bare the following address or Email
Human Resources and Legal Officer,
Agape Associates limited,
P.O. Box 700029,
Email ; hr@ting.co.tz        
Dar es salaam,
Tanzania.





Position: BILLING OFFICER
QUALIFICATIONS   
6.      Degree in IT
7.      Age between 18-34
8.      With experience of 1-3years
9.      Certificate of leadership
10. Must be competent in English and Kiswahili
Come with your updated Cv Application letter and relevant Certificates.
Location ;Mbezi Jogoo, Dar es salaam, Tanzania, Bagamoyo Road,
Contact us through; 0658387041
                                  0658387040
                                              
Application letter with attached Cv. should bare the following address or Email
Human Resources and Legal Officer,
Agape Associates limited,
P.O. Box 700029,
Email ; hr@ting.co.tz        
Dar es salaam,
Tanzania.









Position: TECHNICAL ENGINEER
QUALIFICATIONS   
11. Degree in IT
12. Age between 25-45
13. With experience of 1-3years
14. Certificate of leadership
15. Must be competent in English and Kiswahili
Come with your updated Cv Application letter and relevant Certificates.
Location ;Mbezi Jogoo, Dar es salaam, Tanzania, Bagamoyo Road,
Contact us through; 0658387041
                                  0658387040
                                              
Application letter with attached Cv. should bare the following address or Email
Human Resources and Legal Officer,
Agape Associates limited,
P.O. Box 700029,
Email ; hr@ting.co.tz        
Dar es salaam,
Tanzania.













Image result for JOB NDUGAI

Ofisi ya Bunge inapenda kuuarifu umma kuwa Spika wa Bunge Mhe. Job Yustino Ndugai (Mb),amechaguliwa kuwa Mwenyekiti  wa Maspika na Viongozi wa Bunge katika Umoja Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika. 


Uchaguzi huo umefanyika  katika Mkutano wa Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Barani Afrika uliomalizika jana Mjini Abuja.


Kwa wadhifa huo, Mhe Ndugai ataongoza Maspika wenzake toka Mabunge na Mabaraza ya kutunga Sheria  63 yaliyoko katika nchi 18 za Jumuiya ya Madola kwenye Bara la Afrika. 


Wadhifa huo ni wa miaka miwili kuanzia sasa hadi mwaka 2019 kutakapofanyika uchaguzi mwingine.


Nchi wanachama wa Umoja wa Mabunge Barani Afrika ni pamoja na Afrika  ya Kusini, Botwana, Cameroon ,Ghana, Kenya, Lesotho,   Msumbiji, Mauritius, Malawi, Nigeria, Namibia, Rwanda, Seychelles, Sierra Leone, Swaziland, Tanzania, Uganda na Zambia.


Akizungumzia uchaguzi huo,  Mhe Ndugai amesema "Kwa hakika nawashukuru Maspika wenzangu kwa kunipa dhamana hii ya kuwa Mwenyekiti wao, ni heshima kwangu binafsi lakini zaidi Kwa Tanzania. Ni matumaini yangu kwamba Bunge letu litaendelea kung'ara kitaifa na kimataifa tukiwa Bunge moja lenye Upendo na mshikamano".


Huu ni wadhifa wa nne kwa Mhe. Ndugai katika masuala ya Bunge kwenye medani ya Kimataifa. Amewahi kuwa Mwakilishi wa Nchi za Afrika Mashariki katika Kamati ya Utendaji ya Umoja wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Duniani mwaka 2008-2011, Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii ya Umoja wa Mabunge ya Afrika, Pacific na Carribbean na Jumuiya ya Ulaya  mwaka 2011-2014 na Rais wa Baraza la Mabunge ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC – PF)
Msami Ft. Chemical - So Fine
Siku chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Lipumba kuwavua uanachama Wabunge wanane wa Viti Maalum kisha Spika Ndugai kuridhia uamuzi huo, leo July 27, 2017 Wabunge hao wamefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania.
Wabunge hao wamefungua kesi hiyo iliyopewa namba 143/2017 kupitia Wakili wao Peter Kibatala lakini hata hivyo bado haijapangiwa Jaji huku Wabunge hao wakidai hawajapewa muda wa kujitetea.
Mbali na kufungua kesi katika Mahakama Kuu Tanzania, pia wamekata rufaa ndani ya Chama chao kupinga utekelezaji huo na kuiomba Mahakama isitishe utekelezaji wa uamuzi wa kufukuzwa Uanachama wao.


Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS),  ambaye  kwa sasa yupo nje kwa dhamana dhidi ya kosa la uchochezi, amefunguka jinsi maaskari walivyomkamata na kutaka kupima haja ndogo bila sababu maalumu.
Mhe Lissu amesema niliwakatalia kwa sababu nilishitakiwa kwa kosa la uchochezi na sio kosa lingine na kama wangemshitaki kwa kosa lingine linalomtaka afanye hivyo basi kisheria angefanya hivyo.
“Mimi nimeshtakiwa kwa uchochezi kupima mkojo, unadhibitishaje uchochezi na kupima mkojo? wakaniambia kuna vitu wanavitafuta, mimi nikawambia mkanishtaki na vitu hivyo kwanza ili muende kwa hakimu mkapate order ili mje mchukue mkojo wangu… anyway mimi niliwakatalia”,amesema Tundu Lissu kwenye mkutano wake na waandishi wa habari mapema leo baada ya kuachiwa kwa dhamana.
Hata hivyo Mhe Lissu amesema asingekubali kupima mkojo kwani kufanya hivyo angebambikiziwa kesi na kutengeneza headline kwenye magazeti.
Image result for maalim seif
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi, CUF Maalim Seif Sharif Hamad, amesema kwamba hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwavua Ubunge, Udiwani na kuteua wengine wapya inalenga kudhoofisha kambi ya Wabunge wa CUF na Muungano wa Ukawa.
Maalim Seif amesema, Watanzania wanapaswa wajikumbushe kwamba hata kama hicho kinachoitwa ‘kuwafukuza uanachama’ Wabunge halali wa CUF kingekuwa kiko sawa, hatua kama hiyo hufuata taratibu zote za kisheria na kikanuni za Bunge kujiridhisha kwanza.
Amesema Spika amejiridhisha vipi ikiwa hata hakuwasiliana na Katibu Mkuu wa Chama ambaye kwa mujibu wa Katiba ya CUF ndiye Mtendaji Mkuu wa shughuli za chama na pia kwa nafasi hiyo ndiye Katibu wa vikao vya Mkutano Mkuu wa Taifa na Baraza Kuu la Uongozi la Taifa la Chama
Amesema yeye kama Katibu, alimuandikia Spika Ndugai barua, Jumanne, Julai 25 akimueleza kwamba hilo lililoitwa Baraza Kuu la Uongozi la CUF halikuundwa na wajumbe halali wa Baraza Kuu.
Ameongeza kwamba, Mh Ndugai ameyapuuza yote hayo kwa sababu ni kinyume na mkakati wa Dola wa kuihujumu CUF na kuua demokrasia Tanzania. 
  source BONGO 5
Image may contain: 1 person

Katibu Mkuu wa chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharrif ameongoza mamia ya wanachama wa chama cha wananchi CUF katika ziara ya kuwatembelea wagonjwa na waasisi wa chama hicho ambapo amewataka wanachama wa CUF kujenga umoja na mshikamano.



MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC