Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » KESI INAYOMKABILI CHRIS BROWN YA SHINDWA KUENDELEA






Kesi inayo mkabiri Mwanamuziki Chris Brown imelazimika kutoendelea sababu ikiwa ni ushahidi uliokusanywa na polisi kutojitosheleza. Kesi hiyo ilitarajiwa kupelekwa kwa waendesha mashtaka wiki mbili zilizopita ila ilipigwa chini kutokana na ushahidi kutoridhisha.

Kesi hiyo ni kuhusu kitendo cha jinai ambacho Chris Brown anatuhumiwa kilikuwa ni kumfukuza Baylee Curran kwa kumnyooshea bunduki nyumbani kwa Chris ambapo Mwanamuziki (Chris) alikua anafanya sherehe.

Chris alikamatwa mwezi wa nane na polisi kuchukua maelezo yake na alipaswa kufikishwa mahakamani wiki mbili zilizopita. Lakini mamlaka zinazohusika zimeshindwa kupata ushahidi wa kutosha kuweza kumfikisha mahakamani.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC