Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

    GOSSIP

      INTERNATIONAL NEWS

        LOCAL NEWS

          » » HII NDIO ORODHA YA MASTAA WALIOFARIKI AMBAO BADO WAMEONGAZA KWA PESA NDEFU 2016 MICHAEL JACKSON AONGOZA



           Forbes wameachia orodha mpya ya mastaa waliofariki wanaoendelea kuingiza mkwanja mrefu zaidi.
          Mfalme wa Pop marehem Michael Jackson ameongoza orodha hiyo akiwa na dola Million 885.
          Kwa mujibu wa Forbes, sababu ya kupata mkwanja mrefu zaidi ni  kwa sababu ya uamuzi wa kuuza  nusu-sehemu ya Beatles catalog kwa Sony kwa $ 750m.
          Wengine ni,

          Charles Schulz – $48m

          Arnold Palmer – $40m




          Elvis Presley – $27m






          Prince – $25m






          Bob Marley -$21m






          Theodor ‘Dr. Seuss’ Geisel – $20m






          John Lennon – $12m






          Albert Einstein – $11.5m






          David Bowie – $10.5m

          «
          Next
          Newer Post
          »
          Previous
          WASICHANA 21 WAUNGANA NA FAMILIA ZAO NAKUELEZEA JUU YA UTUMWA WA BOKO HARAM - NIGERIA

          About the Author Unknown

          This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

          No comments

          Leave a Reply

            MOVIE

              Cat-5

                MUSIC