Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » MBUNGE WA ROMBO (CHADEMA) ATAJIHUDHURU UBUNGE BAADA YA WIKITATU KWA MASHARTI.



Mheshimiwa Joseph Selasini (CHADEMA) ameahidi atajihudhuru ubunge endapo mradi wa maji wa chigongwe katika manispaa ya Dodoma utaanza kutoa maji ndani ya siku 21. Alisema hayo juzi katika kamati ya ubunge ya hesabu ya serikali za mitaa alipofanya ziara katika manispaaa ya Dodoma na kutembelea baadhi ya miradi ukiwemo wa chigongwe na kubaini kuwa na mapungufu mengi.

Kauli ya Muheshimiwa Selasini ilikuja baada ya kaimu mhandisi wa maji Bwana Majuto Eriufoo kuomba kamati hiyo impe wiki mbili ili maji yaanze kutoka.  
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC