Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » JANET JACKSON ANATARAJIA KUPATA MTOTO WAKE WA KWANZA AKIWA NA MIAKA 50



Habari njema  kwa mashabiki wa mwanamuziki Janet Jackson mdogo wa Marehemu Michael Jackson anatarajia kupata mtoto akiwa na umri wa miaka 50.

Janet ameiambia People Magazine " tunamshukuru Mungu kwa baraka zake" huku akionyesha mimba yake. 
Hivi karibuni Janet alionekana London akifanya manunuzi ya mahitaji muhimu kwa mtoto wake

Ndugu ambao wako karibu na ndada huyo waliiambia People Magazine kuwa Janet anafurahi sana kuhusu mimba yake na inaendele vizuri. Janet Jackson ameolewa na Wissam Al Mana ambaye ni mfanya biashara.

JANET JACKSON AKIWA NA MUME WAKE WISSAM AL MANA

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC