Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » YASADIKIKA DC AJITUMBUA WILAYA YA UYUI MKOANI TABORA.



Mkuu wa wilaya Gabriel Mnyele ameachia wadhifa wake kwa sababu zake binafsi.

Akizungumza na gazeti la Habari Leo, Mnyele alisema kwamba “ukiteuliwa na mamlaka husika inatoa taarifa na ukiondoka mamlaka husika inatoa taarifa kwa hiyo mtafuteni msigwa (Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu)” mkuu wa mkoa hakupatikanakuelezea kwa undani uamuzi huo, lakini gazeti la habarileo limethibitiishiwa na viongozi wa halmashauri ya Wilaya ya Uyui kuwa amejiuzulu wadhifa huo.

Kwa mujibu wa taarifa yao, mnyele alipita kila idara za Halmashauri ya Wilaya  hiyo kuwaaga akianzia na ofisi yake.


Taarifa za awali zinasema kuachia kwake ngazi kunatokana na kutingwa na majukumu mengi binafsi aliyonayo.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC