Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » » ALIKIBA ANYAKUA TUZO YA SOUNDCITYMVP 2016



Majina ya washindi wa tuzo za Soundcity MVP 2016 yametangazwa kwenye ukumbi wa Eko Hotel jijini Lagos, Alhamisi hii. Jumla ya washindi 14 walitajwa kati ya washiriki 109 waliokuwa wakiwania tuzo hizo hapo mwanzo.

Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na wasanii wanne akiwemo Diamond, Vanessa Mdee, Alikiba na Navy Kenzo. Hatimaye Alikiba aliyekuwa kwenye kipengele kimoja amefanikiwa kuibuka na tuzo hiyo ya VIDEO OF THE YEAR kupitia wimbo wake wa Aje.

Sauti Sol wamefanikiwa kushinda tuzo ya BEST GROUP huku Wizkid alifanikiwa kuibuka na tuzo kubwa ya AFRICAN ARTIST OF THE YEAR.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC