Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » TAZAMA MATOKEO YA MECHI ZA JANA SIMBA PAMOJA NA TIMU ZINGINE


Wekundu wa msimbazi Simba Wakicheza ugenini katika dimba la Sokoine waliibuka na ushindi mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City.

Timu ya wanainchi Dar young Africans nao wakachomoza na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya wakatamiwa na Mtibwa Sugar.

Mwadui Fc wakawachapa African Lyon kwa mabao 2-0. Chama la wana Stand United wamewachapa wanalamba lamba Azam FC kwa bao 1-0.

Jkt Ruvu na Tanzania Prisons wametosha nguvu kwa sare ya bila kufungana. Nao Mbao Fc waliwachapa ndugu zao Toto Africans kwa mabao 3-1

Majimaji wamelala nyumbani kwa kuchapa kwa bao 1-0 na kagera Sugar.Ligi hiyo itaendelea tena leo hii kwa mchezo mmoja kupigwa Kwa Ruvu Shooting kuwa wenyeji wa Ndanda.

SOURCE BBC SWAHILI
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC