Wekundu wa msimbazi Simba Wakicheza ugenini katika dimba la Sokoine waliibuka na ushindi mabao 2-0 dhidi ya Mbeya City.
Mwadui Fc wakawachapa African Lyon kwa mabao 2-0. Chama la wana Stand United wamewachapa wanalamba lamba Azam FC kwa bao 1-0.
Jkt Ruvu na Tanzania Prisons wametosha nguvu kwa sare ya bila kufungana. Nao Mbao Fc waliwachapa ndugu zao Toto Africans kwa mabao 3-1
Majimaji wamelala nyumbani kwa kuchapa kwa bao 1-0 na kagera Sugar.Ligi hiyo itaendelea tena leo hii kwa mchezo mmoja kupigwa Kwa Ruvu Shooting kuwa wenyeji wa Ndanda.
SOURCE BBC SWAHILI
No comments