Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » » OPRAH WINFRAY ASEMA KUWA KUNA EMMETT TILL MPYA KILA LEO



Mwana mama Oprah Winfray ambaye anaendesha kipindi cha Talk show marekani ambaye pia ni muigizaji. amefananisha matukio ya polisi kupiga risasi raia wasio na siraha kama njia ya kukabiliana nao hasa wa wa Marekani wenye asili ya kiafrika na matukio yaliyokuwa yakitokea miaka ya 50 na 60 ambapo wa Marekani wenye asili ya kiafrika walikuwa wakipigwa risasi.

Oprah amenena hayo tarehe 23/9/2016 alipo tembembelea "National Museum of African American History and Culture" ambapo alipata chansi ya kufahamu historia ya EMMETT TILL mvulana aliyeuawa akiwa na miaka 14 kwa sababu ya kuonyesha ishara za kimapenzi kwa mwanamke wakizungu.


«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC