Jokate amezungumza kupitia interview aliyofanya na Milard Ayo. kwamba alipata bahati ya kuonana na mastar hao katika tamasha la NBA all stars.
Jokate ameeleza kuwa haikuwa kazi rahisi kusogelea familia ya Jay z kutokana na ulinzi mkali wa star huyo ila alipata bahati ya kumuomba kupiga picha na familia yake.
ambapo Jay Z alikataa lakini alimuambia kuwa kuna watu wameshapiga hivyo ataikuta mtandaoni.
na kama alivyo ahidiwa, Jokate alifanikiwa kukuta picha yake akiwa karibu na mastar hao.
hii hapa interview.......

No comments