
LONDON UK. - Binti wa miaka 14 amepata haki yake ya kutaka mwili wake ugandishwe na uhifadhiwe kwa ajili ya kufufuliwa pindi tiba ya ugonjwa uliokuwa ukimkabiri ikipatikana.
mwili wa binti huyo uliandaliwa na kuhifadhiwa punde kabla ya kifo chake. hivyo nivigumu kusema kwamba amekufa. awali binti huyo alikuwa akitumia internet kujua kama inawekana kwa mwili wake kuhifadhiwa ili kuweza kuamshwa pindi tiba yake itakapo patikana. na alibahatika kupata utaalam uitwao CRYONICS yani ugandishwaji wa mwili mpaka tiba itakapo patikana na kuweza kuamshwa tena kwa miaka mingi zaidi ya 100.
Utaalamu huo bado haujathibitishwa kuwa unaweza kurudisha uhai wa mtu kweli au lah. lakini kwa sasa mwili wa binti huyo umegandishwa kwa kutumia liquid ya nitrogen kwa mara zisizo hesabika katika kiwango cha ubaridi zaidi ya 130c huko Marekani.

PICHA KUONYESHA JINSI MILI YA WATU INAVYOHIFADHIWA KWA KUTUMIA UTAALAMU WA CRYONICS
No comments