Followers

Theme images by tomograf. Powered by Blogger.

ENTERTAINMENT

GOSSIP

INTERNATIONAL NEWS

LOCAL NEWS

» » MALI YAPOKEA KICHAPO CHA GOLI 6-0 KUTOKA KWA NIGERIA KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA AFRIKA WANAWAKE

 Oshoala alikuwa katika kiwango cha hali ya juu na kuisambaraisha ngome ya Mali

Asisat Oshoala alifunga magoli manne kwa timu yake ya Nigeria na kuanza vyema kampeni za kutetea taji lake la kombe la mataifa ya Afrika kwa upande wa kina dada.

Nigeria walifanikiwa kuwatandika wapinzani wao Mali goli 6-0 kikiwa ni kipigo cha aina yake.

Mchezaji bora kwa mashindano ya mwaka 2014 Oshoala alikuwa katika kiwango cha hali ya juu na kuisambaratisha ngome ya Mali.

Francisca Ordega anayechezea nchini Marekani na Uchechi Sunday wote walizifungia timu zao.
Katika mchezo unaofuata Nigeria watamenyana na mahasimu wao wakubwa wa ukanda wa Magharibi Ghana siku ya Jumatano.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

About the Author Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

No comments

Leave a Reply

MOVIE

VIDEO

FASHION

Cat-5

MUSIC