ENTERTAINMENT
GOSSIP
INTERNATIONAL NEWS
LOCAL NEWS
Label: COMMEDY
Kama kawaida ya HOT BNGO 255 kuhakikisha unapata burudani, leo tunakuletea komedi ya mchekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya ERICK OMONDI, ambaye amekuja na Komedi yake inayokwenda kwa jina la JINSI YA KUA DIAMOND. ambapo ndani ameweza kuweka watu wanao fanana na macelebrity kadhaa ambao huonekana mara kwa mara na Diamond Platnumz.
Tunapozungumzi makomediani wanaofanya poa sana katika ulingo wa sanaa ya uchekeshaji basi huwezi muacha msanii kutoka Kenya PROFESSOR HAMO anayefanya show za Church Hill ambaye amekua akivunja mbavu za watu kwa ubunifu wake ambao amekua akichanganya Lugha mbili kingereza ma kiswahili.
Church Hill show imekua ikibua vipaji vya wasanii wengi kutoka Kenya wenye uwezo wa kuchekesha, imekua ikiwatangaza ndani na nje ya Kenya mpaka kufikia level ya Kimataifa mfano ni Msanii maarufu Erick Omondi ambaye alweza kufahamika kwa utashi wa uchekeshaji wake kupitia Church Hill Show.
Hii ni moja ya Shows ambazo amefanya mchekeshaji Professor Hamo.
Tazama Hapa.....
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)
HOT BONGO RADIO
Popular Posts
-
Picha chafu za mwanamke Za Utupu zavuja na kuivunja ndoa chini ya wiki moja (Audio)
Mwanamke huyo amedai kuwa picha hizo alijipiga na mpenzi wake zamani miaka saba iliyopita wakiwa chuoni na zimekuja kusambaa ndani ya... -
FASHION; PICHA; MAKOTI YA KITENGE KWA WANAWAKE
Kitenge ni vazi lenye asili ya kiafrica linalopendeza na kuitambulisha africa kwa ujumla. HOT BONGO 255 inakudondoshea baadhi ya st...




